‘Nilimtaka kama miongoni wa wasanii ambao wapo katika kimtaifa lakini nashangaa kuona vyombo vya habari vinazidi kukuza hizi taarifa, mimi Vanessa Mdee avyoimba namuona kama wakina Beyonce, Rihanna na wengineo hayo ni maoni yangu pia nilikuwa naongelea level ya Saida Karoli na Vanessa Mdee naomba watu wafahamu sina tatizo na Vanessa Mdee na wala mimi sio shabiki wa muziki wa Vanessa Mdee nilitoa mifano mingi tu’- Afande Sele
‘Nilimtaka kama miongoni wa wasanii ambao wapo katika kimtaifa lakini nashangaa kuona vyombo vya habari vinazidi kukuza hizi taarifa, mimi Vanessa Mdee avyoimba namuona kama wakina Beyonce, Rihanna na wengineo hayo ni maoni yangu pia nilikuwa naongelea level ya Saida Karoli na Vanessa Mdee naomba watu wafahamu sina tatizo na Vanessa Mdee na wala mimi sio shabiki wa muziki wa Vanessa Mdee nilitoa mifano mingi tu’- Afande Sele
Comments
Post a Comment